Whitesmith
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 454
- 635
Habari ya Leo wanajamvi...
Naomba kueleweshwa faida ya Lissu kutetewa na mawakili Vs Kama atajitetea mwenyewe.
Kwa mtazamo wangu, naona kama Lissu atajitetea mwenyewe na mawakili wakajitoa, hii italazimu mahakama ikaleta matokeo ya wazi.
Naomba kueleweshwa faida ya Lissu kutetewa na mawakili Vs Kama atajitetea mwenyewe.
Kwa mtazamo wangu, naona kama Lissu atajitetea mwenyewe na mawakili wakajitoa, hii italazimu mahakama ikaleta matokeo ya wazi.