Lipumba: Watu walipigwa Risasi majumbani mwao na mkuu wa nchi anasema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika

Lipumba: Watu walipigwa Risasi majumbani mwao na mkuu wa nchi anasema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Oktoba 29, 2025, watu walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao, huku Mkuu wa Nchi akisema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika.

Profesa Lipumba ameyasema hayo katika maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Wanachama wa CUF Zanzibar ya Januari 27, 2001.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Oktoba 29, 2025, watu walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao, huku Mkuu wa Nchi akisema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika.

Profesa Lipumba ameyasema hayo katika maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Wanachama wa CUF Zanzibar ya Januari 27, 2001.
Mbona amechelewa kujitokeza na kusema hayo alikua anasubiria maridhiano na uteuzi, ulivo goma kajitokeza, wanasiasa wa Tanzania wana kera sana, wasomi na wasio wasomi wote ni chawa.
 
Sasa amekuwa Professor kamili Kama zamani.
Watu wenye akili timamu na busara wanajali utu, maisha ya binadamu kuliko madaraka au kujaza tumbo.
Watu wenye hizo sifa lazima wapinge na kulaani uhalifu wa MO29.
Wakatae kushirikiana na wauwaji.
 
Mbona amechelewa kujitokeza na kusema hayo alikua anasubiria marifhiano na uteuzi, ulivo goma jajitokeza, wanasiasa wa Tanzania wana kera wasomi na wasio wasomi wote ni chawa.
Ukweli lazima uungwe mkono wakati wowote ule utakapo semwa.
Msema kweli lazima aungwe mkono bila kumuangalia msemaji yeye nani au alikuwa nani hapo awali ili mradi amediriki kusema ukweli kishujaa.
 
Hawa ni Mungu watu that's familia zao hazikuguswa ,ila Mungu yupo ,yupo,yupo .ipo siku tutanena kwa lugha moja, vidonda tulivyo navyo wala haviwezi tibika ati maridhiano ,ati fidia

Leo ukinipa bil 1 kama fidia , inanisadia nini nje ya watoto wangu ambao , mbele wangenibeba nisipoweza kutembea ,wangenivalisha pale siwezi kuvaa , wengenisitiri pale uwezo wa kujisitiri sina. Hapana Mungu lazima alipe kwa wakati ni swala la mda tu.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Oktoba 29, 2025, watu walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao, huku Mkuu wa Nchi akisema nguvu iliyotumika ndiyo iliyopaswa kutumika.

Profesa Lipumba ameyasema hayo katika maadhimisho ya Kumbukizi ya Mauaji ya Wanachama wa CUF Zanzibar ya Januari 27, 2001.
👏👏👏
 
Back
Top Bottom