Lipumba: CHADEMA ni wacheza disko, hawafai!

Lipumba: CHADEMA ni wacheza disko, hawafai!

Mbona unafichaficha. Halafu angalia hiyo ya juu yake ccm inatesa hadi wanafunzi wanafikia kupandishwa kizimbani kwa chakula. Lazma ing'oke
 
Sijawahi kusikia au kuona mke na watoto wa lipumba.
kifupi ana stress za maisha pamoja na uprofesa wake. So tumsamehe bure hajielewi hajitambui
 
Sijawahi kusikia au kuona mke na watoto wa lipumba.
kifupi ana stress za maisha pamoja na uprofesa wake. So tumsamehe bure hajielewi hajitambui

Muwe mnajibu hoja. Kuona mke wake kunahusiana nini na hoja aliyoitoa Lipumba. Mbona wewe hatujawahi kuona mumeo? Mta haibika ngoja oct 25 ije. Mtaficha sura zenu za kinafiki za kukodi watu wajizimie ovyo ovyo. WATANANZANIA TUMESHAWASTUKIA
 
Muwe mnajibu hoja. Kuona mke wake kunahusiana nini na hoja aliyoitoa Lipumba. Mbona wewe hatujawahi kuona mumeo? Mta haibika ngoja oct 25 ije. Mtaficha sura zenu za kinafiki za kukodi watu wajizimie ovyo ovyo. WATANANZANIA TUMESHAWASTUKIA

Kuanzia rais wa nchi mpaka mwenyekiti wa kitongoji wa ccm wote wamepanic. Wanachama mbwiga km nyie pia mmepanic. Magufuli anatamani nywele zake ziwe nyeupe km lowasa yote hiyo ni kwa sababu ya kupanic.
Kete waliyobaki nayo ccm ni polisi na jwtz
 
Sijawahi kusikia au kuona mke na watoto wa lipumba.
kifupi ana stress za maisha pamoja na uprofesa wake. So tumsamehe bure hajielewi hajitambui
Huo ndio ucheza disko wako.... badala ujadili hoja, unazungumzia mambo ya kifamilia!
 
Back
Top Bottom