CUF walimfukuza Hamad Rashid kama Mbwa bila hata kumpa nafasi ya kujitetea.Kwao CUF wanadhani ndiyo wana Katiba na Chadema hawana Katiba ujinga mtupu!
Ametumwa na Kikwete kubembeleza CDM imsamehe Zitto ili aendelee kutumukia CCM akiwa ndani ya CDM. Kamati kuu ya CDM ikae haraka na kumvua uanachama huyu msaliti kabla hizi suluhu za kinafiki hazijaanza. Mbona wai hawajamalizana na Hamad Rashid kabakia mbunge WA mahakama, then wanataka kusuluhisha kwa jirani.
After all hatujasahau zile kura Lipumba ulizomgawia Kikwete 2010 kwa vile Ni muislam mwenzio kama ulivyonukuliwa ukisema
Watu mna hasira kweli!!!
Wewe ni mtu mzima uongo hautakusaidia bhana! Hamada Rashid alipelekewa barua kabla hata ya kikao kilichomvua uanachama. Hata hivyo hatua ya kumvua uanachama ni baada hata ya mbinu nyingine za kumsihi arudi kwenye mstari kushindikana. Au umeshasau kuwa alisema hakitambui kika kilichomuita akajielezee?
Kinyume na Zitto, mlishtukiza ajieleze hapo hapo na uamuzi ukatolewa papo hapo. Issue ya Hamad na Zitto ni tofauti.
CUF walimfukuza Hamad Rashid kama Mbwa bila hata kumpa nafasi ya kujitetea.Kwao CUF wanadhani ndiyo wana Katiba na Chadema hawana Katiba ujinga mtupu!
Wewe ni mtu mzima uongo hautakusaidia bhana! Hamada Rashid alipelekewa barua kabla hata ya kikao kilichomvua uanachama. Hata hivyo hatua ya kumvua uanachama ni baada hata ya mbinu nyingine za kumsihi arudi kwenye mstari kushindikana. Au umeshasau kuwa alisema hakitambui kika kilichomuita akajielezee?
Kinyume na Zitto, mlishtukiza ajieleze hapo hapo na uamuzi ukatolewa papo hapo. Issue ya Hamad na Zitto ni tofauti.