Strategically CUF itasaidia sana kuiangamiza CCM kunako 2015 kwa kuzoa kura Lindi, Mtwara, Pwani na Dar. Huku maeneo yote dume chama dume CDM linatumia nguvu ya umma kuiondoa ccm na thereafter ukarabati wa magereza unaanza kwa ajili ya kuwafunga mafisadi wa ccm.