Haki sawa kwa wote
Haki huleta Maendeleo
Haki huleta Amani na Utulivu
CUF chama cha kutetea wanyonge Tanzania, safi sana Lipumba
CDM tukichukua ikulu Lipumba ata kuwa mshauli wa mambo ya uchumi.
Hakiiiiii
..Uenyekiti wa kudumu wa jopo la wachumi wa dunia amemuachia nani?
..Ugiriki wanamlilia Prof.Lipumba kwenda kuongoza juhudi za kukwamua uchumi wao.
mkutano ulivyofurika, kweli CUF ipo mioyoni mwa wana cuf
Mkuu tunaomba picha
Jokakuu unatoa wapi taarifa zako
Strategically CUF itasaidia sana kuiangamiza CCM kunako 2015 kwa kuzoa kura Lindi, Mtwara, Pwani na Dar. Huku maeneo yote dume chama dume CDM linatumia nguvu ya umma kuiondoa ccm na thereafter ukarabati wa magereza unaanza kwa ajili ya kuwafunga mafisadi wa ccm.