‎
mwenyekiti wa chama cha wannachi (cuf)pro ibrahimu lipumba alisema rais kikwete ana weza kuweka rekodi ya rais wa mwisho... Katika kusimamia shughuli za serikali toka tulipopata uhuru , alisema katika marais wote waliomtangulia, rais kikwete ameshindwa vibaya katika kusimamia masuhala ya taifa.
Je kauli ya lipumba ni ya kwel?
Toa sababu kwa kutaja sehem alizoshindwa kuzisimamia vizuri.