jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
‎
Mwenyekiti wa chama cha wannachi (CUF)Pro Ibrahimu Lipumba alisema rais kikwete ana weza kuweka rekodi ya rais wa mwisho... katika kusimamia shughuli za serikali toka tulipopata uhuru , alisema katika marais wote waliomtangulia, rais Kikwete ameshindwa vibaya katika kusimamia masuhala ya taifa.
Je kauli ya lipumba ni ya kwel?
Toa sababu kwa kutaja sehem alizoshindwa kuzisimamia vizuri.