Lipumba akiwa na Samia Suluhu

Lipumba akiwa na Samia Suluhu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
26.jpg
 
Nilimuona Maalim naye Azam Tv akisema "Inshallah nitakuwa.."
Naye apumzike tu
 
Mnikulu wa safari hii sijui vipi!! hilo kapeti lipo bize utafikiri sehemu ya burudani, kwa Mr. President nako fanicha na kapeti ni mbingu na ardhi
 
Duh! Leo kafanikiwa toka chimboni Buguruni
 
Lile sakata limepunguza kilo kadhaa kwenye mwili wake
 
Mnikulu wa safari hii sijui vipi!! hilo kapeti lipo bize utafikiri sehemu ya burudani, kwa Mr. President nako fanicha na kapeti ni mbingu na ardhi
Ni tatizo la vitu vya zawadi huwa ngumu sana kupangilia, kochi kaleta mjomba, carpet shangazi,mapazia dada hapawezi kupendeza
 
Ukiwa kinyume na upinzani wewe ni kipenzi cha CCM. Kweli wanadamu hatuna aibu walewale wanaofanya nyie msitawale huku wananchi wanawataka ndio mnaocheka nao.
 
walikuwa wanafanya nini!??
au ndo mambo ya uteuzi!??
 
Lipumba anatumika sana,hajui kwa upande wa nyuma wanaomtumia wanamuona kama hamnazo.
 
Back
Top Bottom