Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
hii imekaaje kwa cuf kupanga maandamano na kisha asiwepo mwenyekiti au makamu wake? Na ni kwa nini wanaandamana kwa staili ya kuwakwepa polisi? Polisi wakipita mtaa huu wenyewe wanahamia mwingine? Wanadai demokrasia ipi (kama anavyodai kaimu katibu wao) wakati walishaitambua serikali na kumkabidhi JK ilani yao.
Kati ya CDM na Cuf nani haeleweki?
Kati ya CDM na Cuf nani haeleweki?