Hii yote ni unnecessary mizigo tunayobebeshwa sisi walalahoi walipa kodi. Huwezi kuwa na system
ambayo tuna RAIS, VP, PM na wakati mwingine Second VP. Ndiyo maana kwa mtiririko huu wa
kurudikiana vyeo VP amebaki kutembea na mikasi tu mifukoni, ndiyo hana kazi!
Kama tunafuata system US basi RAIS na VP wanatosha hakuna haja ya kuwa na PM. Kama tunafuata
system ya UK basi tuwe za PM mtendaji (kama India) vyeo vya RAIS, VP tuondoe.
Lakini kwa kuwa mi-afrika (inluding me) tumelaaniwa tunaona sahihi watawala hawa weusi kujirundikia
vyeo eti tunasema wameula! Ona sasa kule ZNZ eti RAIS, First VP, Second VP, ka nchi kenyewe sawa
na mkoa wa Tangayika, sijui huo mlolongo wote wa viongozi wa Kitaifa wanafanya nini? kuwakamua tu
masikini walipa kodi.