Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,432
Nilivyoweka code ya kwanza imeniletea hivi...Jaribu hizo code kwenye Terminal, mkuu
sudo add-apt-repository -y ppa:upubuntu-com/edu
sudo apt-get update
sudo apt-get install aarddict
halafu itafuta dictionary kwenye Dash
Kuna dictionary inaitwa arthaNilivyoweka code ya kwanza imeniletea hivi...
'This PPA does not support xenial'
Cannot add PPA: ''This PPA does not support xenial''.
Tumia prompt command haishindwi kitu so long as unajua the right commandsNina Mint ila nimesahau admin password baada ya kutoitumia kwa muda mrefu, juhudi za kuireset bado zimeshindikana.
Kwa wale watu wa graphic, zipo software kadhaa ambazo unaweza kufanya mambo mengi tu, baadhi ya hizo ni
1. Blender
2. Gimp
Jinsi ya kuinstall, bonyeza ALT+T, kufungua terminal halafu andika codes zifuatazo
Gimp, kwanza update
Code:sudo apt-get update sudo apt-get install gimp
Blender
Code:sudo apt-get install blender
Hizo code azifanyi kazi katika aina ya Ubuntu OS unayotumia...sorry mateNilivyoweka code ya kwanza imeniletea hivi...
'This PPA does not support xenial'
Cannot add PPA: ''This PPA does not support xenial''.
Njia rahisi ni kwenda kwenye ubuntu software search for Blender download it...Blender 3D ni software nzuri sana, ila inataka muda mrefu wa kjifunza , vinginevyo utatoka kapa tu
Poa mkuu nilikuwa sijaufahamu,ninachoona mimi ni windows katika hii desktop sio themes bali"Activities" zote ulizofungua kwenye desktop yako,,,,sifikirii kama hiyo unaiyona ni "Themes" hizo ni activities alizofungua jamaa ambazo ziko kwenye desktop yake.... Ubuntu 17.04 kama sikosei kwenye browser juu upande wa kushoto kuna maneno yameandikwa "Activities" ukiponyeza hayo maneno utapata windows yenye activities zote ulizozifungua...
Anyway mkuu huyu jamaa anatumia firefox website hiyo unazona ni mwanzo wa page ya firefox,hizo ni wesite zote alizoingia katika firefox...😀
Thanks mkuu, nimeamua kuweka artha dictionary!!Hizo code azifanyi kazi katika aina ya Ubuntu OS unayotumia...sorry mate
Nimekufahamu mkuu usipanick.....,jana huyu mama alikuwa na kitu kikali,gilasi mia tano...,samahani mkuuPamoja na jitihada zote kukuelewesha mada yangu naona haujanielewa!
Hizo habari za firefox mimi nimeongelea wapi?
May be you're a noob to understand what I mean!
Ila angalia hizi picha chini bila shaka utaona tofauti na utaelewa msingi wa swali langu!
vs
Kuna theme nyingine kama xubuntu inafanya system kuwa slow mi niliamua kuitoaPamoja na jitihada zote kukuelewesha mada yangu naona haujanielewa!
Hizo habari za firefox mimi nimeongelea wapi?
May be you're a noob to understand what I mean!
Ila angalia hizi picha chini bila shaka utaona tofauti na utaelewa msingi wa swali langu!
vs