Linipate la kunipata!

Kwani ni dada

au ni Sexless ?
 
Oo sawa
 
Upo kwa bi-mdashi afu unalilia mapenzi,afu unapenda watu wazima(waloajiriwa),afu unaleta ununda kwa dogo lako??
 
Hama kwanza nyumbani ndugu msomi.
Acha wivu... Wewe kwenu ni masikini ndiyo maana umekimbia.

Nyumba ninayo na bado naishi kwenye nyumba ya baba.
Nyumba yangu nimeweka wapangaji.
 
Upo kwa bi-mdashi afu unalilia mapenzi,afu unapenda watu wazima(waloajiriwa),afu unaleta ununda kwa dogo lako??
Acha wivu... Wewe kwenu ni masikini ndiyo maana umekimbia.

Nyumba ninayo na bado naishi kwenye nyumba ya baba.
Nyumba yangu nimeweka wapangaji.
 
We nawe tuliza...
haya ni maongezi ya ki-billigate,wewe Ngumukumeza wataka nini??
Acha wivu... Wewe kwenu ni masikini ndiyo maana umekimbia.

Nyumba ninayo na bado naishi kwenye nyumba ya baba.
Nyumba yangu nimeweka wapangaji.
 
Nakumbuka sumbawanga kijiji kinaitwa (Mwaze) kuna kaburi la aina hii, watu wanaenda kuchukua udongo na majani ya miti iliyootea pale.
Wanasena udogo pamoja na majani ya miti kutoka pale inatibu magonjwa mbali mbali
 
Nakumbuka sumbawanga kijiji kinaitwa (Mwaze) kuna kaburi la aina hii, watu wanaenda kuchukua udongo na majani ya miti iliyootea pale.
Wanasena udogo pamoja na majani ya miti kutoka pale inatibu magonjwa mbali mbali

Mwazye
Kaburi la Babu Abel
Nahis ndio jamaa atakua analizungumzia
 
Mbona Wewe Ulichukua Huo Udongo Hujasema Kama Ulifauru Kupitia Huo
Acha Naye Atusue
 
Imani inajenga, Shida watu tunashindwa kuamini mpaka tuone au tuambiwe na wengine.
 
Hilo Kaburi bado tu halijaisha udongo
🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…