Line ya uwakala wa M-pesa

Line ya uwakala wa M-pesa

Mbona hizo line mnaziuza bei ghali,kwani mnazinunua bei gani

usiangalie bei ya kununulia tu angalia pia fauda utakayoipata kwa kuwa na line M-pesa

Usiangalie tu Dark side ya kitu tu pia jaribu kuona positive side
 
ninazo mbili za voda laki mbili niko dsm,anayetaka pm ihusike hapa
 
Back
Top Bottom