Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Kama unataka Line ya Mpesa(wakala) ikiwa katika jina la mtu tayari
No need for TIN
Bei 250,000/-
Contacts: 0757871445
No need for TIN
Bei 250,000/-
Contacts: 0757871445
Kama unataka Line ya Mpesa(wakala) ikiwa katika jina la mtu tayari
No need for TIN
Bei 250,000/-
Contacts: 0757871445
Hiyo laki moja nakupa
unazo nyingi au ni moja tu?
mimi nauza 150000 tu
inakuwa na jina la anyeitaka? yani unatengeneza yenye jina langu?mimi nauza 150000 tu
Mkuu sio kwamba huu uwanja (ukizingatia hatulipii) upo hapa kwa ajili ya manufaa ya mnunuzi na muuzaji (kusaidiana) na sio kuumizana wala kumnufaisha mmoja wapo ? Mimi naona hata kama kuna mtu anazitoa bure itakuwa vema akija hapa sababu kwa kufanya hivyo atasaidia wengi. Unless kama hili Jukwaa ni la Strictly for Business (hata hivyo kuna kitu kinaitwa soko huria) au ni wanunuzi tu ndio wanatakiwa kutoa majibu.acha kuharibu biashara ya mwenzio!anzisha thread yako!!
Mkuu sio kwamba huu uwanja (ukizingatia hatulipii) upo hapa kwa ajili ya manufaa ya mnunuzi na muuzaji (kusaidiana) na sio kuumizana wala kumnufaisha mmoja wapo ? Mimi naona hata kama kuna mtu anazitoa bure itakuwa vema akija hapa sababu kwa kufanya hivyo atasaidia wengi. Unless kama hili Jukwaa ni la Strictly for Business (hata hivyo kuna kitu kinaitwa soko huria) au ni wanunuzi tu ndio wanatakiwa kutoa majibu.
ndo maana mm nikasema yeyote anaruhusiwa kufanya biashara popote lkn si usubiri nifungue uje ufanyie mlangoni kwangu na unashusha bei kabisaa hiyo si biashara huria!Hauwezi kuwafata wateja wa Voda kwenye vodashop...ukiwambia voda bei yao iko juu nunua line zangu za TIGO...
Hili ni soko huria lkn kila mmoja anaruhusiwa kuanzisha sehemu yake ya kuuzia
Na sio unataka kuuzia katika mlango wa duka la mwenzako huoo ni ujinga na welevu watampotezea
Ni kweli hauwezi sababu lile ni duka lao na wanalipia ila hapa kuna tofauti hii ni open forum ambayo haina masharti ya kulipia, ipo hapa kwa jambo la kwanza muhimu la kusaidia watu, ingekuwa tofauti mtu kama angesema kwamba bidhaa yako ni duni chukua yangu (wakati hajui bidhaa yako) ila hapa bidhaa ni ile ile ila yake bei ni tofauti, hivyo basi kwa kusema kwake amesaidia wengi.Hauwezi kuwafata wateja wa Voda kwenye vodashop...ukiwambia voda bei yao iko juu nunua line zangu za TIGO...
Vilevile kila mtu anaruhusiwa kujibu chochote au kuelezea chochote kwa mtu yoyote atakayeanzisha uzi wake ili mradi asilete matusi wala kashfa...Hili ni soko huria lkn kila mmoja anaruhusiwa kuanzisha sehemu yake ya kuuzia
Na sio unataka kuuzia katika mlango wa duka la mwenzako huoo ni ujinga na welevu watampotezea
Tofauti hapa sio kwenye mlango wa mtu.., ni kwenye open forum, alafu usiangalie hii issue kwa upande wa muuzaji pekee angalia upande wa mnunuzi pia.., kumbe wote hao ni wanajamii wa JF ambayo JF ipo kwa ajili yao kuwasaidiando maana mm nikasema yeyote anaruhusiwa kufanya biashara popote lkn si usubiri nifungue uje ufanyie mlangoni kwangu na unashusha bei kabisaa hiyo si biashara huria!
Tofauti hapa sio kwenye mlango wa mtu.., ni kwenye open forum, alafu usiangalie hii issue kwa upande wa muuzaji pekee angalia upande wa mnunuzi pia.., kumbe wote hao ni wanajamii wa JF ambayo JF ipo kwa ajili yao kuwasaidia
Hili Jukwaa ni wadau wote wauzaji na wanunuzi au Tangazo lolote lile..., haikatazwi mtu na yeye kuja akajibu chochote kuhusu hio issue; sasa kama ameona kile kinachouzwa na yeye anacho na kwa bei nafuu.., kuweka kwake Bei yake hapa ambayo ni ndogo ni kuwapa unafuu wanunuzi. Kwahio ingawa anaonekana kamuharibia muuzaji ila kawasaidia wanunuzikulikuwa ugumu gani yeye kufungaua uzi wake akatangaza kama mwanzisha mada alivyofanya? bado sijaona unachotea wakati nae anaweza kuanzisha thread yake.
acha kuharibu biashara ya mwenzio!anzisha thread yako!!