Line ya Tigo-Pesa yahitajika mkoani Dodoma

Line ya Tigo-Pesa yahitajika mkoani Dodoma

Ummar

Senior Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
172
Reaction score
87
Habarini wapendwa.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Ninahitaji line tajwa hapo juu kwa gharama ya Tsh 250,000 inayo-operate mkoani Dodoma.
Shukran.
 
kuna jamaa yuko hapo anauza lakini kwa bei hiyo sidhani kama atauza
 
Thanks a trillions mkuu for your concern.
Hata kama itapatikana kwa 300K hainaga ubaya, tutafanya just a deal.
 
Habarini wapendwa.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Ninahitaji line tajwa hapo juu kwa gharama ya Tsh 250,000 inayo-operate mkoani Dodoma.
Shukran.

Mimi ninayo na ninataka 450,000 mwisho kabisa 400,000. Nipo Dar na mawasiliano haya hapa 0787577755.
 
Back
Top Bottom