Line ya M-pesa standing alone inauzwa

Line ya M-pesa standing alone inauzwa

mtvbase

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2014
Posts
1,243
Reaction score
562
Habari nauza line ya mpesa ambayo haipo chini ya Wakala mkuu
 
unamaanisha nini?
unauza uwakala mkuu wako au?
maana line zote za mpesa lazima ziwe chini ya wakala mkuu
 
Line ambayo haikwati asilimia
 
ngoja nimsaidie mleta mada.
Vodacom mwanzo walikuwa wanatoa wao line za mpesa baadae ndio wakaja kuwapa mawakala baada ya kuona wanalemewa.
_line za mawakala wanakula kamisheni ya 20% ya miamala zote utakazozifanya kwa mwezi.
ila ukiwa na ya Vodacom hukatwi chochote ambayo ndio mleta mada anayo.
 
samahani hivi mpesa unatumia mkoa wowote?
kaama umeisajili dar unaweza kuitumia mwanza?
 
Hivi hakuna mtu anayejua swali nlilouliza au ndo ujeuri tu?!
 
samahani hivi mpesa unatumia mkoa wowote?
kaama umeisajili dar unaweza kuitumia mwanza?

Inategemea Na msajili wako Ni Wakala mkuu au Vodacom wenyewe kwahyo kuna limit ikiwa Ni Wakala mkuu lakini Vodacom we popote hats Tandahimba, Namangaka, huko Lorya we piga kazi tu lakini Bei yao Vodacom Ni ndefu
 
Inategemea Na msajili wako Ni Wakala mkuu au Vodacom wenyewe kwahyo kuna limit ikiwa Ni Wakala mkuu lakini Vodacom we popote hats Tandahimba, Namangaka, huko Lorya we piga kazi tu lakini Bei yao Vodacom Ni ndefu

Ok
Sasa ya huyu jamaa lets assume yupo arusha.
Mie wa bukoba naweza kutumia?
 
Back
Top Bottom