mkuu hali ni mbaya sana kwa chadema, hapo juu hapo wamejaa wazee wa sanaa tu, hakuna hata binadamu mmoja mwenye potential katika safu ya uongozi, nawasikitikia sana wanaokishabikia chama kama hiki kisicho na mwelekeo hata kidogo, chadema wanadhambi ya kuwahadaa watanzania, shame on you guys..hamna hata aibu??
Watoto wako wamekula?:lying:Ni ujinga kabisa.NANI KAKUDANGANYA KUNA KUTAPATAPA CDM? WATU WENGINE HOVYO KABISA. LIMTU BADALA YA KUHANGAIKIA MITOTO YAKE ILE LINAKUJA KUANIKA UCHI WA AKILI YAKE MTANDAONI. YOU ARE USED BY MAGAMBA. UTATUMIWA NYUMA NA HATIMAYE MBELE.
mitakataka inaanzisha hoja za kijinga yenyewe na kutumia i'd nyingine kujisupport! Haya, saa hizi umeshachelewa nenda kesho asubuhi lumumba ukalipwe 7000 yako.
Ni ujinga kabisa.NANI KAKUDANGANYA KUNA KUTAPATAPA CDM? WATU WENGINE HOVYO KABISA. LIMTU BADALA YA KUHANGAIKIA MITOTO YAKE ILE LINAKUJA KUANIKA UCHI WA AKILI YAKE MTANDAONI. YOU ARE USED BY MAGAMBA. UTATUMIWA NYUMA NA HATIMAYE MBELE.
dr slaa ndo mtaji wenu pekee uliobaki kutokana na kuungwa mkono na watu wanaokula ile kitu inatafuta chakula kwa pua
Chadema chama cha kigaidi na genge la wahuni wenye masilahi yao,wadini sana hasa dr slaa na wafitini na wauaji,laiti Zitto angekuwa hatoki Kigoma wangeshamuua maana wanajuta mwanzo walivyomwingiza hawakujua kama anepe ndwa na watanzania wengi kuliko wao wakina mbowe!!!Babu yeye ni uzinzi na mzushi wake aliyemkimbia mume wake kwa tamaa zake,babu tabia ya uzinzi utahacha lini?umetelelekeza wanao uliozaa ukiwa bado padri.Mama Rose hana hamu na wewe ulivyomfanyia,umemgigida ukiwa padri na kumzalisha na akakutunzia siri,leo umemkimbia,shame on you.
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
CHADEMA kimejikuta katika kipindi kigumu, huku wasijue kwa kujishikia kabla la anguko kubwa la kisiasa kutokea. Chama kimekumbwa na masahibu makubwa hadi wanazidi kutapatapa kula kukichwa; hali mbaya ya kisiasa iliyopo CHADEMA imechangiwa na kukosekana kwa chombo cha sera ndani ya chama huku maamuzi ya chama yakitegemea utashi wa Mbowe. Hali iliyoko chamani, CHADEMA ni kusikiliza tamko la Mwenyekiti na kulitekeleza pasipo kutafakari kupitia vikao vya kikatiba.
CHADEMA wakati huu wakitambua nchi ipo katika kipindi cha mchakato wa KATIBA, wametishia kujitoa katika mchakato huu; wamesahau wao walipewa fursa ya kutoa mwakilishi pia wakapewa ratiba nzima ya mchakato wakakubali. Sasa ni ajabu wamegeuka na kutishia kujitoa kana kwamba wao ni wadau BORA kwenye mchakato husika.
Nawashangaa hiki chama ni kigeugeu; ushauri wa bure kwa CHADEMA; MTUMIE NGUVU KUBWA NA RASLIMALI ZILIZOPO KUJIIMARISHA VIJIJINI ILI MWAKANI MSHIRIKI VIZURI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KAMA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU 2015. Vinginevyo chama hakitaweza kuchukua serikali pasipo jitihada za kujiuza kwa wapiga kura!
Bungeni wabunge wa CHADEMA wamekuwa mstari wa mbele kuomba miongozo badala ya kujadili vipaumbele vya wapiga kura; Muda haupo upande wenu, jipangane kwa uchaguzi wa 2014 na 2015
Wewe ni wale walio tayari kufa na Dr. Slaa na Mbowe hatakama unaona jahazi linaenda MRAMA, pole sana