GRANDPUBA JF-Expert Member Joined Nov 10, 2012 Posts 751 Reaction score 792 Jun 28, 2016 #41 Amavubi said: View attachment 360606 Click to expand... Nampenda mke wangu na familia yangu, lakini siyo kizuzu namna hii.
Amavubi said: View attachment 360606 Click to expand... Nampenda mke wangu na familia yangu, lakini siyo kizuzu namna hii.
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,400 Jun 28, 2016 #42 Ni ujinga class A kwa kudhani kusaidiana majukumu ya kusaidia waifu na mtoto ni kwa ajili ya watu walio na limbwata kichwani. Mtoa mada jitahidi hata usafiri kidogo usikae tu Bongo ujinga kama huo unakua unaisha automatically
Ni ujinga class A kwa kudhani kusaidiana majukumu ya kusaidia waifu na mtoto ni kwa ajili ya watu walio na limbwata kichwani. Mtoa mada jitahidi hata usafiri kidogo usikae tu Bongo ujinga kama huo unakua unaisha automatically
G Gojaga Nize JF-Expert Member Joined Jul 1, 2015 Posts 3,177 Reaction score 2,538 Jun 28, 2016 #43 Kilichokuwa kinaniwazishaga sana ni kwenda clinic kwa BODA au kupeleka mtoto kwa kuita taxi, so kausafiri kanahusika
Kilichokuwa kinaniwazishaga sana ni kwenda clinic kwa BODA au kupeleka mtoto kwa kuita taxi, so kausafiri kanahusika
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 28, 2016 Thread starter #44
ISIS JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 96,072 Reaction score 858,572 Jun 28, 2016 #45 Amavubi said: mkuu hapo yanaongelewa mapozi ya hilo jibaba na hiyo pochi Click to expand... lol!
ISIS JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 96,072 Reaction score 858,572 Jun 28, 2016 #46 Amavubi said: View attachment 360934 Click to expand... beautiful!
Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 10,115 Reaction score 17,989 Jun 28, 2016 #47 Waliolelewa na baba wa kambo wanaona hii siyo kawaida yaani lazima kuna namna sababu wao hawakuwahi hata kubebwa na hao Baba zao wa kambo.
Waliolelewa na baba wa kambo wanaona hii siyo kawaida yaani lazima kuna namna sababu wao hawakuwahi hata kubebwa na hao Baba zao wa kambo.
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,098 Reaction score 10,610 Jun 28, 2016 #48 kabanga said: Nimeshapeleka sana wanangu clinic na hospital lakini sio Kama hivi....! Click to expand... Mwanaume ana sehemu yake ya kubeba mtoto sio kama huyu mbwiga
kabanga said: Nimeshapeleka sana wanangu clinic na hospital lakini sio Kama hivi....! Click to expand... Mwanaume ana sehemu yake ya kubeba mtoto sio kama huyu mbwiga
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,107 Reaction score 185,390 Jun 28, 2016 #49 Kubeba mtoto siyo shida.. ila huo mkoba wa kike ndiyo shida..