Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

Dk ya 35 Yanga bado anaongoza goli moja dhidi ya MCC.
 
Mkuu usimwombee hivyo?
bado dogo tunamwitaji hapa jangwani.

ni kweli mkuu kijana tunamuhitaji sana ila ni angalizo tu...si unajua tena vijana wakilewa mafanikio nini hutokea!!
 
Back
Top Bottom