brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Simba wachawi mvua wataitengeneza tu....ila watapigwa na mvua yaoMvua tu ikinyesha dagaa Yanga tumeumia ila kama haijanyesha Simba kwisha habari yake... Naomba mje mniprove wrong baada ya mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia anko wake shunieMashabiki wote wa yanga wanasema mechi ngumu
Sisi simba tunasema washakaa
UPDATESLeo ndio leo,, watani wa jadi wanakutana katika mechi ya ligi kuu mzunguko wa pili, Yanga akiwa mwenyeji wa mchezo huu.
Yanga rekodi inambeba na wachambuzi wengi wanampa uwezekano mkubwa wa kushinda katika mchezo wa leo huku ikizingatiwa tangu kocha Mwinyi Zahera aje Yanga haijawahi kupoteza mchezo wowote kwa idadi kubwa ya magoli. Kocha Patricks Aussem amekuwa na wakati mgumu na timu ya Simba baada ya kupata vipigo kadhaa mfululizo huku akipigwa goli 10 katika mechi 2 klabu bingwa.
UPDATES
kikosi YANGA :
Golini : Kabwili (17)
Ulinzi : Ninja (20)
Kiungo : Fei Toto (19)
Kikosi rasmi kinakuja muda sio mrefu
UPDATE
MIDA YA SAA 4 ASUBUHI JESHI LA POLISI NA VYOMBO VYA USALAMA wanawakatalia wazee watatu wa Simba kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji hasa baada ya kushindwa kutoa maelezo wanaenda kufanya nini vyumbani humo
TULIENIMashabiki wote wa yanga wanasema mechi ngumu
Sisi simba tunasema washakaa
Ukipata jibu uni-tag.Mechi saa ngapi?
Nimejibiwa ni saa kumi kamili nduguUkipata jibu uni-tag.
Majina mengi Ila MBUMBUMBU limewatoa knock out..Thanks mzee RageMnyama mkali Simba sc tafuna hao vyura a. k. a
Mbute mbute fc
Makwasu kwasu fc
Omba omba fc
Bakuli fc
Malalamiko fc
Njaa fc
Mihogo fc.
Bado Dkk 58 kipute kianze.