Ligi Kuu Bara: Yanga Afrika vs Mgambo JKT, Azam FC Vs Maji Maji Apr 27 2016

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Dakika ya 4 Yanga wamefungwa 1,

Dk ya 8 Yanga wanapata kona lakini hawajaitumia vizuri. Yanga wanendelea kuliandama lango la wapinzani wao lakini wanakosa umakini kwenye third part.
Dk 13 Cannavaro anafanyiwa madhambi Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo.

Dk 30 Mgambo wanapata kona, lakini Yanga wanalinda vyema, lakini sekunde chache baadae Mgambo wanakosa goli la wazi.

Dk 39 kipa wa Mgambo JKT anapata kadi ya njano kwa kupoteza muda.

Dk 43 Deus Kaseke anaisawazishia Yanga sasa ubao unasomeka Yanga 1 - Mgambo JKT 1

==============MPIRA NI MAPUMZIKO==============

Dakika ya 73 Yanga kupiti kwa Deus Kaseke wanapata goli la pili

Mpira umemalizika kwa matokeo ya 2-1
 
Naona Yanga wanamaliza kiporo chao kwa kufungwa, Tusubiri tuone...
 
Yanga naona wanalishambulia lango la upinzani kwa hasira. Mgambo wana winga teleza moja ya kushoto hatari sana, Yanga wasipokuwa makini itawaletea madhara.
 
Hizi ligi zetu Tz zitatuua kwa pressure uongoz wa TFF utolewe ote ili tuaze upya tunaweza kuonekana hata nje
 
Dakika ya 50: Ngoma tena anakosa bao la wazi baada ya kupewa pasi na Tambwe, tayari Ngoma alishaanza kushangilia akijua mpira unaingia wavuni.

Dakika ya 47: Ngoma anashindwa kumalizia mpira uliokuwa ukipita mbele kidogo ya lango la Mgambo.

Dakika ya 45: Yanga wanafanya mabadiliko ametoka Paul Nonga, ameingia Donald Ngoma.
 
Goli la Migambo ya Tanga limefungwa dakika ya 4 na Bolly Ajaly a.k.a Bolly Accident. Na goli la Wa kimataifa a.k.a Timu ya Wananchi limefungwa na Deus Kaseke dakika ya 44
 
Back
Top Bottom