yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,882
- 3,293
Inaonekana una moja, mbili kuhusu hii ishu emu funguka.Dogo acha Uongo mbona yule Bimt mwenye jina la Hotel pale Kariakoo na Baba yake ana mabasi ya kijani alishaolewa kitambo, leo ndio unaileta humu, hiyo birika hukuitoa wewe
kweli story nyingine za Instragan
leo mtu unajisifia Ukimwi, kizazi hichi si chetu
Kumbe jamaa ametunywesha chai ya rangi eti?