Msaidieni mwenzenu jaman, maswali yasiwe mengi kwake.Una mda gani upo mtaani toka umalize chuo?
miaka 2Una mda gani upo mtaani toka umalize chuo?
miaka 2
ASANTE SANAMkuu ielewe hiyo post uliyoiomba kwa undani, soma mambo yahusuyo brela na wizara ya viwanda na biashara, soma uhusiano wa brela na taasisi zingine kibiashara, soma current issues za kibiashara, alafu relax Muombe Mungu kama wakati ni wako itakua
Heshima kwenu wadau, nimeitwa written interview ya licencing officer position BRELA naomba msaada wa possible questions, natanguliza shukrani kubwa
23/07Unaenda kufanya tarehe ngap kaka?