Libyan PM Ali Zeidan 'taken by armed men', freed!

Libyan PM Ali Zeidan 'taken by armed men', freed!

Waziri Mkuu wa Libya ametekwa na watu wenye silaha huko Tripoli. Hatari sana

==============
..

Ameshaachiwa.


Gunmen free Libyan Prime Minister Ali Zeidan after seizing him from hotel
October 10, 2013, AT 13:01
NBC News is currently working to bring you more information on this breaking news headline.

Continue to check Top Stories for an article associated with this headline.
 
Itakua nikutokana naile kauli aliyo itoa majuzi. Iliyataka mataifa ya magharibi wamuongezee nguvu ya kiulinzi nchini kwake kwamadai kua nchiyake ndio kitovu cha uvushaji siraha kwenda kwa aliyewaita magaidi kwenye ukanda wa kaskazini mwa África.
 
Some things happen only in fairy tales. A very senior government officer is kidnapped by a militia, another militia group manages to wrestle him away and the authorities proudly announce his release. Are those guys up there running a government or some kind of base ball game without rules?

Ameachiwa baada ya kundi lingine la wana mgambo kuingilia kati.

Source click:Libyan PM freed after stunning abduction
 
Back
Top Bottom