Libya: Meli yenye bendera ya Tanzania yakamatwa imesheheni silaha

Utawala wa Magu umejaa maruweeruwe na ghiriba za kila aina. Akaona njia pekee ya kudhibiti ushindani kwenye kiti Cha uraisi ndani ya CHAMA chake ni kuwatumia wachawi elfu moja kutoka Gamboshi kupiga mkwara kuwa watamroga yoyote atakayechukua fomu
Ndio maana kavunjika guu kwasababu ya chang'aa anacngizia kapigwa na watu watatu hahahaha kweli bwana utawala huu umejaa ghiriba.
 
Hii ilikuwa inatumiwa sana meli zilizo sajiliwa Zanzibar sasa naona limejirudia tena, kuna mpumbafu wa wizara amesha vuta mpunga kuweza sign ya usajili wa hiyo meli, Anko Magu mda siyo mrefu anakula kichwa cha mtu
Kando na rushwa labda pia sheria za Tz(Maritime Laws) ni legevu mno na zinawakubalia wageni kusajili meli zao na kufanya shughuli zao bila 'regulations' zozote zile za maana. Kuna nchi zingine ambazo bendera zao huwa zinapeperushwa sana. Km. Liberia, Marshal Islands, Belize na Panama ambayo ina 'open registry', ambapo wenye meli wanaweza wakasajili meli zao mitandaoni bila kutia mguu wao nchini Panama.
 
Kando na rushwa labda pia sheria za Tz(Maritime Laws) ni legevu mno na zinawakubalia wageni kusajili meli zao na kufanya shughuli zao bila 'regulations' zozote zile za maana. Kuna nchi zingine ambazo bendera zao huwa zinapeperushwa sana. Km. Liberia, Marshal Islands, Belize na Panama ambayo ina 'open registry', ambapo wenye meli wanaweza wakasajili meli zao mitandaoni bila kutia mguu wao nchini Panama.
Kando na rushwa labda pia sheria za Tz(Maritime Laws) ni legevu mno na zinawakubalia wageni kusajili meli zao na kufanya shughuli zao bila 'regulations' zozote zile za maana. Kuna nchi zingine ambazo bendera zao huwa zinapeperushwa sana. Km. Liberia, Marshal Islands, Belize na Panama ambayo ina 'open registry', ambapo wenye meli wanaweza wakasajili meli zao mitandaoni bila kutia mguu wao nchini Panama.
Magufuli asitisha usajili wa meli mpya Tanzania
IMG_20200612_222403.jpg
 
Kama Zanzibar bado inasajili meli hii lazima itakuwa kazi yao nyingine.

Hii siyo mara ya kwanza.
 
Hawa Waturuki si ndio wanajenga SGR ya Tanzania, huu mchezo unahitaji macho yenye uwezo wa kuona mbali.
 
Hii ilikuwa inatumiwa sana meli zilizo sajiliwa Zanzibar sasa naona limejirudia tena, kuna mpumbafu wa wizara amesha vuta mpunga kuweza sign ya usajili wa hiyo meli, Anko Magu mda siyo mrefu anakula kichwa cha mtu
Yawezekana kabisa, au hata walio madarakani na kwenye vyama wanatafuta hela ya uchaguzi...sisi ni bure tu, wao ndiyo wajuao kila jambo TZ..
 
Kando na rushwa labda pia sheria za Tz(Maritime Laws) ni legevu mno na zinawakubalia wageni kusajili meli zao na kufanya shughuli zao bila 'regulations' zozote zile za maana. Kuna nchi zingine ambazo bendera zao huwa zinapeperushwa sana. Km. Liberia, Marshal Islands, Belize na Panama ambayo ina 'open registry', ambapo wenye meli wanaweza wakasajili meli zao mitandaoni bila kutia mguu wao nchini Panama.
Mkuu Maritime Law ya Tanzania sio legevu kama tunavyodhani.
Tanzania ina Merchant Shipping Act,2003 ambayo inaongoza Tanzania bara na visiwani pia Zanzibar wana Marine Transport Act, 2006.

Sisi tuna usajili wa meli wa aina 2, Tanzania huku Bars tunasajili Closed Registry ambapo meli inayataka kusajiliwa lazima mmiliki awe mzawa au awe na hisa 50% kama ni kampuni ya kigeni.Huu ni usajili mgumu kwa wamiliki wengi wa kigeni.

Zanzibar wao wanafanya Open Registry ambayo haihitaji vigezo vigumu ni mtu yeyote anaruhusiwa kufanya usajili wa meli, hii ilianzishwa na Uingereza baada ya vita kuu ya pili kuongeza wigo wa kodi.

Meli yoyote inayosajiliwa Zanzibar itapeperusha bendera ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, na meli nyingi hizo zilisajiliwa huko. Hivyo lolote linalotokea ni letu kama Tanzania na kwa kufata Merchant Shipping Act sisi tunaweza kutoa ushauri au kufuta usajili utaofanyika Zanzibar.

Hili swala la nchi kuwa na sajili mbili sio geni kuna nchi kama Uingereza wao wanafanya open register kwa kutumia visiwa vya Cayman, China wanatumia Hong Kong.
 
Usajili uliozuiliwa ni meli za kigeni zinazofanya masafa (Foreign vessel) usajili wa meli za kawaida unaendelea.

Mbona hamjiulizi Sea Star 1,Zanzibar 1 na Kilimanjaro 7 zinafanyaje kazi bila usajili?
Meli hizo za abiria karibia zote zinausajikk wa Zanzibar, usajili kwa meli za ndani umeendelea.
 
Usajili wa wazi(Open Registry) sio mbaya kama tunavyoamini pasi kufatilia kwa undani wake.

Mfano mtu akisajili gari lake TRA na hiyo gari siku ikakutwa imebeba mzigo haramu mwenye kosa atakuwa aliyesajili gari.Hapana kosa litabaki kwa mmiliki sio mamlaka ya kusajili Magari.
 
Greek media reported that an incident occurred on Wednesday (10 June) off the coast of Libya. A Tanzanian-flagged cargo vessel allegedly carrying weapons for Libya escorted by three Turkish frigates broke the arms embargo of the EU Irini operation

Apparently, there was only one Greek frigate monitoring the arms embargo on behalf of the EU.

When the Tanzanian-flagged vessel was asked to back off, the Turkish frigates said the ship was under the protection of the Turkish state. Considering that there was only one EU frigate, it ultimately backed down. Apparently, the vessel ultimately reached the Libyan coast

The Greek ministry of defense confirmed the incident

ATHENS - Weird incident with Operation Irini
hata picha haipo kwa kweli we mzizi,😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Mkuu Maritime Law ya Tanzania sio legevu kama tunavyodhani.
Tanzania ina Merchant Shipping Act,2003 ambayo inaongoza Tanzania bara na visiwani pia Zanzibar wana Marine Transport Act, 2006.

Sisi tuna usajili wa meli wa aina 2, Tanzania huku Bars tunasajili Closed Registry ambapo meli inayataka kusajiliwa lazima mmiliki awe mzawa au awe na hisa 50% kama ni kampuni ya kigeni.Huu ni usajili mgumu kwa wamiliki wengi wa kigeni.

Zanzibar wao wanafanya Open Registry ambayo haihitaji vigezo vigumu ni mtu yeyote anaruhusiwa kufanya usajili wa meli, hii ilianzishwa na Uingereza baada ya vita kuu ya pili kuongeza wigo wa kodi.

Meli yoyote inayosajiliwa Zanzibar itapeperusha bendera ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, na meli nyingi hizo zilisajiliwa huko. Hivyo lolote linalotokea ni letu kama Tanzania na kwa kufata Merchant Shipping Act sisi tunaweza kutoa ushauri au kufuta usajili utaofanyika Zanzibar.

Hili swala la nchi kuwa na sajili mbili sio geni kuna nchi kama Uingereza wao wanafanya open register kwa kutumia visiwa vya Cayman, China wanatumia Hong Kong.
nilijua tu lazima upite hapa.......baharia
 
Back
Top Bottom