LG GT540 phone kutofanya kazi, msaada

LG GT540 phone kutofanya kazi, msaada

Abdulhalim

Platinum Member
Joined
Jul 20, 2007
Posts
17,217
Reaction score
3,125
Mazee heshima!

Sasa ni hiviii, kuna simu LG GT540 imenunuliwa online kama 'unlcked', sasa kwa specs zake, kama zinavoonekana hapa LG GT540 Optimus - Full phone specifications inaonesha kwamba by default it should work with any of the Tanzanian service providers, kupitia GSM 900, etc sasa cha ajabu imegoma aisee. Inaonesha pale kwenye network kuwa kumezuiwa. Sasa kwa wajuvi fungukeni basi ili nieze kutumia haka kasimu.

Natanguliza shukrani.
 
Inawezekana aliekuuzia alikudanganya kwamba sio locked?

Tafuta wataalamu wa kuchakachua wakuchakachulie.
 
Mazee heshima!

Sasa ni hiviii, kuna simu LG GT540 imenunuliwa online kama 'unlcked', sasa kwa specs zake, kama zinavoonekana hapa LG GT540 Optimus - Full phone specifications inaonesha kwamba by default it should work with any of the Tanzanian service providers, kupitia GSM 900, etc sasa cha ajabu imegoma aisee. Inaonesha pale kwenye network kuwa kumezuiwa. Sasa kwa wajuvi fungukeni basi ili nieze kutumia haka kasimu.

Natanguliza shukrani.

Mkuu hapo kwenye network inaandika nini?

BTN
naona hiyo simu inatumia OS yya Android je kwenye simu yao ipo version gani ya android ?
Umeshafanya trial ngapi za ku unlock maaana sometime option za soft unlock ziko limited zaidi ya hapo itabidi ikafanyiwe Hard unlock na wataama wenye vifaa.

Bila kujua iko locked kwa Service provider gani ani inaweza kuwa kazi kufanya unclocking kwa codes za online
 
Mkuu hapo kwenye network inaandika nini?

BTN
naona hiyo simu inatumia OS yya Android je kwenye simu yao ipo version gani ya android ?
Umeshafanya trial ngapi za ku unlock maaana sometime option za soft unlock ziko limited zaidi ya hapo itabidi ikafanyiwe Hard unlock na wataama wenye vifaa
Kaka simu ni kweli inatumia OS ya Android ila version sijajua inaangaliziwa wapi, ngojea nichek taratibu.

Hard reset nimefanya Lakini bado imegoma.

Kwa kifupi hata manual yenyewe imekaa KIHUNIHUNI tu, dah.
 
Inawezekana aliekuuzia alikudanganya kwamba sio locked?

Tafuta wataalamu wa kuchakachua wakuchakachulie.

Cm ipo unlocked, ilishatestiwa kwa nje ya Tz.
 
Back
Top Bottom