Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Mazee heshima!
Sasa ni hiviii, kuna simu LG GT540 imenunuliwa online kama 'unlcked', sasa kwa specs zake, kama zinavoonekana hapa LG GT540 Optimus - Full phone specifications inaonesha kwamba by default it should work with any of the Tanzanian service providers, kupitia GSM 900, etc sasa cha ajabu imegoma aisee. Inaonesha pale kwenye network kuwa kumezuiwa. Sasa kwa wajuvi fungukeni basi ili nieze kutumia haka kasimu.
Natanguliza shukrani.
Sasa ni hiviii, kuna simu LG GT540 imenunuliwa online kama 'unlcked', sasa kwa specs zake, kama zinavoonekana hapa LG GT540 Optimus - Full phone specifications inaonesha kwamba by default it should work with any of the Tanzanian service providers, kupitia GSM 900, etc sasa cha ajabu imegoma aisee. Inaonesha pale kwenye network kuwa kumezuiwa. Sasa kwa wajuvi fungukeni basi ili nieze kutumia haka kasimu.
Natanguliza shukrani.