Level ya Degree na Cheti Vyawa Sawa

Level ya Degree na Cheti Vyawa Sawa

Joined
Mar 4, 2013
Posts
93
Reaction score
9
Ivi ni kweli mshahara wa mwalimu level ya degree ni sawa na mshahara wa Nurse level ya cheti? na kama ni kweli vipi Nurse level ya diploma anamzidi mwalimu kiasi gani?

Na kama si kweli kuna haja ya form 4 waliopata dalaja la 4 la mwisho wakakimbilia Nursing kujilinganisha na Mwalimu mwenye degree? Na kama ni sawa Mnanishauri vipi mimi mwalimu niliyejifanya nina kiherehere eti naenda kusoma degree ya ualimu kisa nimefauru mitihani yote ya level ya secondary na msingi?


Ntashukru kwa ushauri wenu
 
Its time tanzania tuanzekusoma vitu ambavyo tuko passionate navyo na sio course ipi inaishinda nyingine kwa mshahara, pili hio degree ya education umeisoma miaka mitatu na kimahesabu ni bei rahisi kuilipia, sasa hivi u nurse ni miaka minne na iko expensive fees yake kwa (private perspective|) sometime unatakiwa uwe right place at right time(na hio ndivyo ilivyotokea kwa ma nurse, na wewe umegraduate at wrong time but at a right time cos kazi wanakuguarantee, ni hizo point zangu tatu nafikiri zinaplay part
 
Kuna watu hawajaelewa uchumi wa soko huria maana yake ni nini mpaka leo.

Kama umepata degree au cheti, kama hujaelewa uchumi wa soko huria maana yake ni nini na degree/ cheti chako kitakuwa na mvuto gani katika soko huria, hiyo degree/ cheti chako hakina maana sana.
 
Its true kaka ila sina uhakika na nursing mshahara wao ila nafahamu taasisi nyingi wana diploma za technical kama wanapata mara mbili ya mshahara wa mwalimu cha msingi jitahidi kufanya mambo ya ziada kwani ualimu una muda mwingi wa kufanya extra activity
 
Kama ulisoma sayansi unaweza kusoma hata evening technical subject ukabadili fan kama ulisoma arts pole zako ni hizo useless perfomance
 
But mnalichukuliaje suala la kufel kidato cha nne na kukubaliwa katika secta nyeti kama u nurse?
 
Tamaa ilimua fisi kama uliamua kwenda education.usitake kulinganisha cha mwenzako.kuna m2 alikulikulazimisha? Acha tamaa
 
Ivi ni kweli mshahara wa mwalimu level ya degree ni sawa na mshahara wa Nurse level ya cheti? na kama ni kweli vipi Nurse level ya diploma anamzidi mwalimu kiasi gani?

Na kama si kweli kuna haja ya form 4 waliopata dalaja la 4 la mwisho wakakimbilia Nursing kujilinganisha na Mwalimu mwenye degree? Na kama ni sawa Mnanishauri vipi mimi mwalimu niliyejifanya nina kiherehere eti naenda kusoma degree ya ualimu kisa nimefauru mitihani yote ya level ya secondary na msingi?


Ntashukru kwa ushauri wenu


DALAJA, NIMEFAURU!!!!!!!

Huyu ndio mwalimu aliyefaulu masomo yote......wallah Tanganyika yangu inabakwa na ujinga. Mimi sina cha kukushauri wewe, nina ushauri kwa mwajiri wako: KILAZA WA NAMNA YAKO HASTAHILI KULIPWA ZAIDI YA 45,000 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom