nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Jamani mambo vp jamani,natumaini mmejibu poooah na hasa kwa wale wananchi wenye uhakika wa kupata musosi,haya nawasumbua kidunchu eti lets imagine kama watu hawa wasingepata elimu,wasingekuwa wanasiasa wangekuwa wanafanya shughuli gani na wangekuwa wanakaa maeneo gani?
-mkwere(Jk),hediwardi lowhasa,r-aziz,makamba,makinda,mizengo piinda,ngeereja na huyu ndugu yangu kawamba.
huwa nawaza bt nimegundua mkwere angekuwa na kundi lake la ngoma za kiutamaduni na angekuwa anakaa uswahilini kama tandale tandale hivi na huyu makamba angekuwa mwimba taarabu tena wa back-stage na angekuwa anakaa magomeni flani.wapendwa mshawahi fikiria kuhusu mtu mmojawapo wa hapo juu ,hebu tupe utamu tujiliwaze away from all probs. of this nation.
-mkwere(Jk),hediwardi lowhasa,r-aziz,makamba,makinda,mizengo piinda,ngeereja na huyu ndugu yangu kawamba.
huwa nawaza bt nimegundua mkwere angekuwa na kundi lake la ngoma za kiutamaduni na angekuwa anakaa uswahilini kama tandale tandale hivi na huyu makamba angekuwa mwimba taarabu tena wa back-stage na angekuwa anakaa magomeni flani.wapendwa mshawahi fikiria kuhusu mtu mmojawapo wa hapo juu ,hebu tupe utamu tujiliwaze away from all probs. of this nation.