leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

Yani chadema hakuna mtu mwenye utimamu anaweza kuwa ruhusu kwenda ikulu. Yani siasa zinawatoa utu kabisa.

Yani mnafanya siasa kama vita na kusahau sote ni watanzania.

Hivi yani mtu asisalimiane na watu kisa yeye ni chadema?hivi chadema kwanini mnapenda siasa za chuki?.

Mbona mbowe ni rafiki wa kinana,rostam,mkono na sumaye hadi wanapiga madeal?
Chadema hasa bavicha acheni utoto.
 
TATIZO LA CHADEMA NI UKOSEFU WA MAADILI;Huwezi kuwa na baba asiyekuwa na maadili ukategemea watoto wawe na maadili,Mwenyekiti na katibu mkuu wake ni watu wasiokuwa na maadili kwenye fedha,mahusiano(wanawake)katika hayo mambo mawili viongozi hawa wamekosa maadili tukianza na Mbowe anatembea sana na wabunge wa viti maalum waziwazi haikatazwi kama atajificha kulinda heshima yake kwahiyo hadi unajiuliza vigezo vya vitimaalum ni msingikiuno na babu nae hivohivo ni mtu mzima ana mchumba na kaitelekeza familia ,Tukubaliane kuwa maadili yanaanzia ndani!Tuje kwenye upande wa fedha hawana uaminifu wana tuhuma na kashfa nyingi za ubadhirifu wa kweli wana uwezo wa kuongoza taasisi kubwa kama chadema?kama wengine walikula hela za kanisa mbowe kathubutu kukizurumu hata chama gazeti?tukubaliane ni lazima uwe muadilifu ndio upate dhamana ya uongozi na tuwapuuze wanaosema hayo ni mambo yao binafsi maadili ni sifa ya kiongozi ni sawa uwe na baba shoga sababu anaihudumia familia useme ni baba bora
 
vijana wa chadema kweli hamna kazi mnakaa kusubiri salamu

astakafilulahi
 
Marobot ya CCM yanaposti yenyewe na kujijibu yenyewe mutatukana lakini ndio munakataliwa mpaka muwe na ubwabwa kupata mwananchi hata wakumtapeli na sera mfu za CCM
 
Very pathetic issue, ndio maana ingefaa Mods wangekuwa wana edit postings au mtu yeyote anayeleta postings kama hizi apewe ban ya miezi mitatu.

hakuna Uadui kwenye siasa, kesho utaona Mbowe na Zitto wakiteta na kucheka, na siku ifuatiyayo utawaona wakitupiana makombora and life goes on.
 
Back
Top Bottom