leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

leticia unawasaliti wana-cdm ngudu

nhobola ye2

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
24
Reaction score
1
katka hali isiyo ya kawaida mbunge wa vti maalum jimbo la kwimba amekuwa rafiki wa pete na kdole na wana-ccm hatakufika hatua ya kutowajali wananchi hata kwa salam tu,haya yamejizihilisha leo katka stand ya ngudu mjini ambapo mweshimiwa ali-pack r4 yake na kuanza ku-chat na kna-malando(diwan ccm),na wengne wengi kutoka chama cha mizido'ntatupia pcha mda si mrefu'bila hata salamu kwa vjana na wazee waliokuwepo pale,Kitendo hki kilileta manung'uniko kwa vjana,nahata kuamini kuwa tayari naye alishakuwa tapel wa siasa'kwani wasukuma tunaaminikuwa- uluuyela na sumi ukusumila nu bebe'viongozi chunguzen huyu mama atatuangusha wapigania haki za wanyonge.
 
tumekuwa tuktaja mazambi ya huyu mama lakini haelewi'kina-mama wenzake wanadiliki kumwita ninghi'(kisukuma) analinga sana hajal watu
 
katka hali isiyo ya kawaida mbunge wa vti maalum jimbo la kwimba amekuwa rafiki wa pete na kdole na wana-ccm hatakufika hatua ya kutowajali wananchi hata kwa salam tu,haya yamejizihilisha leo katka stand ya ngudu mjini ambapo mweshimiwa ali-pack r4 yake na kuanza ku-chat na kna-malando(diwan ccm),na wengne wengi kutoka chama cha mizido'ntatupia pcha mda si mrefu'bila hata salamu kwa vjana na wazee waliokuwepo pale,Kitendo hki kilileta manung'uniko kwa vjana,nahata kuamini kuwa tayari naye alishakuwa tapel wa siasa'kwani wasukuma tunaaminikuwa- uluuyela na sumi ukusumila nu bebe'viongozi chunguzen huyu mama atatuangusha wapigania haki za wanyonge.
Yeah anapaswa kuwapa makamanda salam na hata ikiwezekana awape maji ya kunywa akiwakuta maana makamanda wanapambana 24/7 bila kuchoka! Ajirekebishe!
 
Jenga hoja vizuri. Siasa ya vyama vingi si uadui, kusalimiana na kuongea na viongozi wa upande wa pili, tatizo nini ?
 
Makamanda punguzeni kuwa judgemental hivyo yaani from your subjective point of view kwamba kila mtu ana kasoro isipokuwa nyinyi tu!!??%Just to remind you everybody is born with a unique personality.Personality is a product of long term socialization (internalization of societal values,traditions,culture,beliefs,customs,etc by an individual) as well as personal innate wishes,needs,wants,etc.So before you judge people try to understand them first and you will find something very interesting about them.Remember YOU CAN'T JUDGE A BOOK BY ITS COVER-You need to read its CONTENTS first.
 
Huu ni uongo wa karne, kwani ccm hawawasalimii wananchi? Shirikisha ubongo wakati unaongopa
 
Siasa za Tz bhana! sasa unataka awe adui wa wana CCM wote! kwahiyo kuwa CDM ni mwiko kuwa na rafiki m-CCM?!! Badilika na ujitambue kijana!
 
Huyu Leticia Nyerere si ndo mwenye uraia wa nchi mbili? Asubiri 2015 tumtimue aende akawe mbunge wa huko Texas marekani lakini si huku Tz kwa makamanda makini.
 
Wakati mwingine vijana mnaokunywa gongo muwe mnapumzika siku moja moja
 
Huyu Letecia Nyerere nilimtoa thamani hasa pale aliposema kuwa serikali ianzishe chuo cha kufundisha wanaume kutongoza, kiukweli alituhaibisha sana Makamanda na chama chetu.
Huyu Mama yupo too westernized so hatufai ipo siku atakihaibisha chama vibaya sana.
 
Huyu Letecia Nyerere nilimtoa thamani hasa pale aliposema kuwa serikali ianzishe chuo cha kufundisha wanaume kutongoza, kiukweli alituhaibisha sana Makamanda na chama chetu.
Huyu Mama yupo too westernized so hatufai ipo siku atakihaibisha chama vibaya sana.

ni kweli viongozi wa chadema wafundishwe kutongoza waache kupora wake za watu hongera leticia kwa kuwapa somo viongozi wako
 
Huyu Leticia Nyerere si ndo mwenye uraia wa nchi mbili? Asubiri 2015 tumtimue aende akawe mbunge wa huko Texas marekani lakini si huku Tz kwa makamanda makini.

vipi mbona una hasira nae sana.kakunyima nini? au haelewani na viongozi wako wakuu? chadema kiongozi yoyote anayejielewa hawamtaki wanataka vilaza wakina lema na msigwa
 
Makamanda punguzeni kuwa judgemental hivyo yaani from your subjective point of view kwamba kila mtu ana kasoro isipokuwa nyinyi tu!!??%Just to remind you everybody is born with a unique personality.Personality is a product of long term socialization (internalization of societal values,traditions,culture,beliefs,customs,etc by an individual) as well as personal innate wishes,needs,wants,etc.So before you judge people try to understand them first and you will find something very interesting about them.Remember YOU CAN'T JUDGE A BOOK BY ITS COVER-You need to read its CONTENTS first.

thus why we learn psychology b'coz of that uniquiness'so don't create a defencive mechanism while the reality is very exposed'just accept the challenge and work upon.
 
katka hali isiyo ya kawaida mbunge wa vti maalum jimbo la kwimba amekuwa rafiki wa pete na kdole na wana-ccm hatakufika hatua ya kutowajali wananchi hata kwa salam tu,haya yamejizihilisha leo katka stand ya ngudu mjini ambapo mweshimiwa ali-pack r4 yake na kuanza ku-chat na kna-malando(diwan ccm),na wengne wengi kutoka chama cha mizido'ntatupia pcha mda si mrefu'bila hata salamu kwa vjana na wazee waliokuwepo pale,Kitendo hki kilileta manung'uniko kwa vjana,nahata kuamini kuwa tayari naye alishakuwa tapel wa siasa'kwani wasukuma tunaaminikuwa- uluuyela na sumi ukusumila nu bebe'viongozi chunguzen huyu mama atatuangusha wapigania haki za wanyonge.

Vyama vingi sio uadui wewe, funguka acha kuwa "Mwintunge"!
 
katka hali isiyo ya kawaida mbunge wa vti maalum jimbo la kwimba amekuwa rafiki wa pete na kdole na wana-ccm hatakufika hatua ya kutowajali wananchi hata kwa salam tu,haya yamejizihilisha leo katka stand ya ngudu mjini ambapo mweshimiwa ali-pack r4 yake na kuanza ku-chat na kna-malando(diwan ccm),na wengne wengi kutoka chama cha mizido'ntatupia pcha mda si mrefu'bila hata salamu kwa vjana na wazee waliokuwepo pale,Kitendo hki kilileta manung'uniko kwa vjana,nahata kuamini kuwa tayari naye alishakuwa tapel wa siasa'kwani wasukuma tunaaminikuwa- uluuyela na sumi ukusumila nu bebe'viongozi chunguzen huyu mama atatuangusha wapigania haki za wanyonge.
Hii imekaa kimajungu sana.!
 
Huyu Letecia Nyerere nilimtoa thamani hasa pale aliposema kuwa serikali ianzishe chuo cha kufundisha wanaume kutongoza, kiukweli alituhaibisha sana Makamanda na chama chetu.
Huyu Mama yupo too westernized so hatufai ipo siku atakihaibisha chama vibaya sana.

Hivi we kabila gani? Mbona kiswahili hujui?!!
 
Back
Top Bottom