AMESEMA HAYO ALIPOKUWA ANAHOJIWA NA MWANDISHI WA HABARI KUWA ALIFUATA MKUMBO KUTOKA NJE YA BUNGE LA KATIBA NA MPAKA SASA HAJATAMBUA NI KWANINI UKAWA WALIAMUA KUTOKA NJE YA BUNGE LA KATIBA, MOSI AMEENDA MBALI ZAIDI KWA KUSEMA KWAMBA NDANI YA CHADEMA UNAFANYA UNACHOAMRIWA NA WAKUBWA WAKO NA YEYE ALIAMUA KUFUATA MKUMBO WA YALE UKAWA WALIOFANYA KUTOKA NJE. MY TAKE: ndani ya ukawa kuna wajumbe wapo na uzalendo kwa taifa lao na wanahoji kuhusu viongozi wao kugomea kurudi bunge la katiba mpaka sasa,nichukue nafasi hii kumpongeza mheshiwa leticia nyerere,john shibuda,hamad rashid,na ndugu arfi kwa kuweka maslahi ya taifa mbele.kwenu wadau