Mazoko
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 674
- 186
Nimejaribu kutafakari maneno aliyokuwa anayatoa mbele ya mtangazaji wa Star TV kuwa hajuwi kilichosababisha UKAWA wagome hili si tatizo maana kila mmoja anauwelewa tofauti. Shida yangu nipale aliposema YEYE KAFUATA MKUMBO hapa ndipo najiuliza hivi kweli huyu nikiongozi mbunge au nimtu wa mitaani
Haiwezekani mbunge akasema anafuata mkumbo hivi niviongozi wangapi wanafuata mkumbo je kama wapo taifa letu tunalipeleka wapi mbunge yupo kwaajili yakuwakilisha wananchi leo anafuata mkumbo mtunga sheria huyu
Hili ni njaa iliyokithiri anaona anakosa posho inamlazimu kuropoka bilakujuwa anaongelea nini. Pili kutokujuwa nini maana ya kiongozi nawajibu wake kama kiongozi( mbunge) tatu yeye na wabunge wengine heshimu mawazo yako na maamuzi yako kama unaona yako sahii
Mwisho kama nikiongozi kwa mfumo wa sasa CHAMA kikitoa msimamo huna budi kufuata kama hutaki unahiari kabisa kuachia ngazi
Haiwezekani mbunge akasema anafuata mkumbo hivi niviongozi wangapi wanafuata mkumbo je kama wapo taifa letu tunalipeleka wapi mbunge yupo kwaajili yakuwakilisha wananchi leo anafuata mkumbo mtunga sheria huyu
Hili ni njaa iliyokithiri anaona anakosa posho inamlazimu kuropoka bilakujuwa anaongelea nini. Pili kutokujuwa nini maana ya kiongozi nawajibu wake kama kiongozi( mbunge) tatu yeye na wabunge wengine heshimu mawazo yako na maamuzi yako kama unaona yako sahii
Mwisho kama nikiongozi kwa mfumo wa sasa CHAMA kikitoa msimamo huna budi kufuata kama hutaki unahiari kabisa kuachia ngazi