Ok ok, ila sidhani wote wanakaa ofisini au nyumbani kwenye tv ili kusikiliza vipindi vya redio.
Na ndo maana kaomba steshen kwenye redio.
Maana redio unaweza sikiliza popote, uwe umepanda baskeli, unasukuma mkokoteni, uwe shambani, n.k. Pia, hata kwenye simu unaweza skiza.