PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

PostGE2025 Lete hadithi zote kwa Wazee wa Dar, Sisi huku mikoa yote tunataka kujua maiti za ndugu zetu ziko wapi? Nani alitoa amri ya kuua?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
800
Reaction score
1,301
Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi.

Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna waziri mkuu mwenye akili sana analeta mila ya kutohesabu waliokufa.

Tunataka kufahamu ndugu zetu wako wapi? Aliyetoa amri ya mauaji ni nani? waliokuwa wanauwa wako wapi? Hizo hadithi za kuharibu mali za watu kwani kabla ya uchaguzi aliyeteka na kuuwa watu alipoteza mali gani? Endeleeni na hotuba zilizojaa vijembe vya taarabu.
 
Nadhani CCM walishaona TZ ni ng'ombe wao wa maziwa. Ukisikiliza hao wanaitwa rais na waziri mkuu wanavyozungumza, ni kama WANANCHI hatuna vichwa kama wao. Ingawa wanafahamu wazi kwamba uelewa wetu ni mkubwa kuliko wao.

Miaka yote kazi yao ni kutumia pesa za serikali ovyo, baadaye wanaimba mbele kwa mbele na kugawana pesa. Hawajali kuleta viongozi wenye ufahamu. Imekuwa ni nchi ya kufanyia mzaha.

Hatimaye wameona ni sehemu ya kujifunza kufanya mauaji. Wameuwa kwa majaribio wakiamini watapokonya. Eti hata maiti hawajui wamepeleka wapi! surely STUPID!
 
Kuna mchezo tunaletewa kana kwamba hatuna elimu vichwani: Yaani Walioua ndugu zetu sasa wanajiita viongozi.

Mwigulu kaanza hadithi za kutohesabu waliokufa, wakati waliokufa siku zote tunaletwa idadi; Feri la kigamboni, MV Bukoba, Kipepeo, Treni iliyoseleleka, Mv Nyerere, nk. Eti sasa tuna waziri mkuu mwenye akili sana analeta mila ya kutohesabu waliokufa.

Tunataka kufahamu ndugu zetu wako wapi? Aliyetoa amri ya mauaji ni nani? waliokuwa wanauwa wako wapi? Hizo hadithi za kuharibu mali za watu kwani kabla ya uchaguzi aliyeteka na kuuwa watu alipoteza mali gani? Endeleeni na hotuba zilizojaa vijembe vya taarabu.
Screenshot_20251201-133439~2.png
 
Back
Top Bottom