beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,251
- 2,226
K sal ni mkenya? Usije ukawa unachanganya na K South ambaye ni marehemu.Hiyo inaitwa Narrative lyrical styles huwezi kuipata kwa vijana wa Sasa hivi..
Kote East Africa..
Jiulize kipindi hicho Hawa K sal walikuwa wakenya ila Usingeweza kuwatofautisha na Watanzania waru akama Hardmad na wengine..
Nakuomba Rudi kasikilize Mkiwa ya Ksal feat Ferouz...
Uone watu walivyokuwa wakitunga halafu ukisikiliza kiswahili Rudi niambie yule alikuwa Mkenya au Mtanzania...