Leo ni uhuru wa nchi gani?

Leo ni uhuru wa nchi gani?

Fanya kazi unanyue uchumi, acha ufisadi.. Hili la utanganyika/uzanzibar sio la msingi.

Ni la msingi sana bro, jamii inayotupa historia yake ni jamii iliyokufa.
 
watanganyika walio wengi wameathiriwa sana kiakili,they were hypnotised from 1964 mpaka leo wanaishi kwa aidia za kitumwa,mbaya zaidi wamezikubali aidia hizi kwenye nafsi zao,kiswahili tunasema "mkataa kwao mtumwa"

kama sisi waznzibari tumelazimishwa kuingia ushirika na tanganyika lakini mpaka leo na kila kizazi kijacho hatujaziweka fikra hizi ndani ya nafisi na kujifanya sisi ni watanzania, ndio mana we are proud for who we are wazanzibari,wala sisi sio watanzania,tunatambua kuwa tanzania ni mfumo wa kisiasa tu na sio asili yetu.

kwetu sisi wazanzibari wengi wetu ni aibu kabisa kujitambulisha kama mtanzania,kwa sababu kufanya hivyo ni kutojitambua,narudia tena tanzania ni political term or expression iliyowekwa kutambulisha nchi mbili kisiasa na sio kiasili. jambo la ajabu kwa wenzetu watanganyika wao ni aibu kujitambulisha kama watanganyika ajabu sana kutokufahamu uhalisi na asili yako, hata kama unaiona mbaya lakini ndio asili yako be proud of it
 
Kwa mujibu Wa viongozi Wa CCM Na Serikali yake in Uhuru Wa nchi ya TANZANIA BARA wao nchi TANGANYIKA hawataki kuisikia
 
Da! Jibu jepesi kwa swali gumu. Mtoa mada kauliza kitu cha msingi sana lakini kama ilivyo kawada yetu sisi watanganyika kuchukulia mambo kijuujuu
Wewe umekuwa nani wa kuwachugulia wengine namna ya kujibu?
Mjibu wewe unavyodhani ni sahihi na acha kurukia yasiyokuhusu...
 
Back
Top Bottom