nkumbison
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,220
- 2,972
Alikua anaitwa CP akatoa ngoma hilo likiitwa Pwaa na jina likambatiza Cpwaaa.. Pwaaaa alimaanisha Poana mi kama nalipata hilo la cpwaa sema jina limenitoka
Alikua anaitwa CP akatoa ngoma hilo likiitwa Pwaa na jina likambatiza Cpwaaa.. Pwaaaa alimaanisha Poana mi kama nalipata hilo la cpwaa sema jina limenitoka
Hakufanya Pfunk kama kumbukumbu ziko vizuri ilikua kwa MJP funk alisampo hii beat somewhere kama my memory serves me correctly, still it is good beat
Luci na marko chaliHivi kapika nani like beat?
Kitomba sana enzi izooDude By Beenie Man,mikasi Ngwair
Ndio ni MJ na prof LudigoHakufanya Pfunk kama kumbukumbu ziko vizuri ilikua kwa MJ
Nafasi nyingine ilipikwa na jamaa wa Tabasam rec...mombasaUmesahau kutoka kwa g record ya Roy.... Ice cream ya noorah
Na zile za park lane.... Aisha aisha na nafasi nyingine zimepikwa nani vile? Halafu kuna crunk moja la cpwaa nimelisahau jina em nikumbushe......
Ninao mkuuKuna wimbo wa kikongo miaka ya 90 nadhan unaimba "kidekulee ei maama kidekulee" yaan nautafuta na sifaham aliyeimba nani
Ninao mkuuKuna wimbo wa kikongo miaka ya 90 nadhan unaimba "kidekulee ei maama kidekulee" yaan nautafuta na sifaham aliyeimba nani
Wanaitwa BWV, wimbo wao mwengine huu hapaMwaanza Zirekebishee baarabara x 2, sikumbuki hii kitu ilipigwa na nani.
Huu wimbo unanikumbusha kisa kimoja one day tuko msibani tunazika,Beat ya Mh. Temba ft: Dully sykes, Nampenda yeye!
Hahahaa we jamaa duuhHuu wimbo unanikumbusha kisa kimoja one day tuko msibani tunazika,
Sasa Sheikh aliekua ameingia ndani kwenye kaburi baada ya Kumuweka marehemu vizuri pale chini akatoa kichwa nje kuomba aletewe majani,
Basi akaita "Majaniiiiii", kukiwa na utulivu eneo lile la makaburi mhuni mmoja katika wale waliokuja kuzika akaitikia "Temba Hapa"