Sangamwalogesha
JF-Expert Member
- Mar 10, 2025
- 2,148
- 1,328
Huyo ameshazikwaTunashuhudia utekelezaji wa Katiba ya Taifa letu kwa 100%
Hongera sana viongozi wetu.
Mabeberu walishindwa hata ku-edit slogan yao ya kibeberu kwa kiswahili.
OCTOBER TUNATIKI ✅ ✅