Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
- Thread starter
- #21
Torati ni vitabu vya sheria vilivyoandikwa na nabii Musa anbavyo ni vitabu vya mwanzo ktk again la kale.Tofauti ya Torati na agano la kale ni ipi?
Agano la kale ni vitabu vyote ktk biblia vilivyoandikwa kabla ya kristo.
Asante