Leo najibu pm zote

Sasa mambo ya k yametoka wapi Mkuu?
 
kweli nimeamini sisi wanaume wa Jf bure kabisa atuendi PM mpk tufunguliwe uzi.
 
Mbona umeweka picha ya chura,wakati najua ww ni kimbaombao?
 
Nasikia unaundugu na wasiojulikana ni kweli?
 
Chochote utakachokiomba nakupa
Guys wahurumieni wenzenu hata muwe mnawatembelea pm siku moja moja sio mpaka wanatamani kufuatwa, hapo ukute kapita mtaani kwao hata kuambiwa dada mambo hakuna, mluzi hakuna mpaka anatamani kwenda kwa sangoma kuangalia amtengenezee dawa aonekane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…