Leo katika kumbukumbu

Leo katika kumbukumbu

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
660
Reaction score
589
Tarehe 31 Agosti,2024

Rais Samia alihudhuria na kutoa hotuba katika Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma Qur'an Tukufu kwa Wasichana, yaliyofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Alisisitiza umuhimu wa taasisi za dini katika kulinda familia, malezi na maadili ya Taifa. Pia alisisitiza umuhimu wa elimu ya dini kwa watoto na wanawake.
IMG-20260831-WA0090.jpg
 
Back
Top Bottom