EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #101
Upo mkuu kama kawa ukija nistue nikuoneshe mchomaji mmoja matata, don't worry hutaniona ila ntakupa maelekezo yoteShukrani mkuu,kwa hiyo kesho mnada upo kama kawaida?
Upo mkuu kama kawa ukija nistue nikuoneshe mchomaji mmoja matata, don't worry hutaniona ila ntakupa maelekezo yoteShukrani mkuu,kwa hiyo kesho mnada upo kama kawaida?
Interesting, Mimi ni mdau wa nyama ya mbuzi, Sema nipo kinondoni huku...Upo mkuu kama kawa ukija nistue nikuoneshe mchomaji mmoja matata, don't worry hutaniona ila ntakupa maelekezo yote
Mbuzi mzima unamaanisha kabla hajachinjwa?Interesting, Mimi ni mdau wa nyama ya mbuzi, Sema nipo kinondoni huku...
Bei ya mbuzi mzima Ina range kwenye ngapi mzee?
Yeah boss kabla hajachinjwa.Mbuzi mzima unamaanisha kabla hajachinjwa?
Dah, pale sijawahi kuona wakiuzwa wazima wazima ungejaribu RuvuYeah boss kabla hajachinjwa.
Ok huyo aliechinjwa tayari mbuzi mzima bei gani?Dah, pale sijawahi kuona wakiuzwa wazima wazima ungejaribu Ruvu
Miguu ya nyuma 15-18Ok huyo aliechinjwa tayari mbuzi mzima bei gani?
Lodge 20-25-30LODGE HAPO KIBAMBA SHILINGI NGAPI?? MAANA KUNA MATU ANATAKIWA ATAFUNWE KIMASIHARA .....
Karibu sanaKeshoo nakuja kwaajili ya nyama tu japo sijawahi kuja hiyo sehemu hapo Panama Napafahamu sana. Maeneo ya Nyumbn ila nimepasusa sana
Jumamosi ni Loliondo KibahaJumamosi hakuna?
Jumamosi ni Loliondo Kibaha