achana na jana leo ni siku mpyaaaSasa mkuu hizo bata ulizokula jana na leo unaendelea si unifowardie nami ata ten nami nikala huku bata mkuu
Njoo.mkuu kila.kitu.juu yanguSasa mkuu hizo bata ulizokula jana na leo unaendelea si unifowardie nami ata ten nami nikala huku bata mkuu
Sasa mkuu nakujaje na niko mbali fanya michakato niwe vizuri mkuuNjoo.mkuu kila.kitu.juu yangu
Nauli au??Sasa mkuu nakujaje na niko mbali fanya michakato niwe vizuri mkuu
Ipo aseee tena ishaivaMkuu, bado mko wazi? Nyama bado ipo mda huu? Natamani kumshtua mdau wangu mpendwa sana tutembee huko sema ratiba kama haziendi poa leo.
Karibu sana kalumbu,une kuno kukukaja.Dah jpili ya leo twende tukale nyama tu mkuu
Nipo huku tangu 2003.Mh,we ntakuwa nakufahamu,nimekaa hapo karibu na hicho kiwanja cha mpira karibu miaka 5...
Umefika wapi mkuu
Twende basi.....Na imani leo ni jumapili na si jumamosi kama ulivyoandika.
Bei ya mbuzi kwa wastani huko mnadani ina range wapi boss.
Ankoo niko mjini ujue😉Ipo sehemu gani nije?
Nipo jirani pembeni ya uwanja kwa Charles Hilal
Mmh 🤣🤣Nishachukua mbuzi kilo 5 na kusepa fasta niwahi BBQ!
Mwee kalumbu, Ngimba uli jirani itolo, ahsante angwisaKaribu sana kalumbu,une kuno kukukaja.
Ankoo niko mjini ujue
Akunyaga kalumbu, karibu sanaMwee kalumbu, Ngimba uli jirani itolo, ahsante angwisa
Ndaghaa👏Akunyaga kalumbu, karibu sana
Kumbe MBOMBO NGAFUNdaghaa