mchome haki
Senior Member
- Jun 18, 2017
- 129
- 58
Shetani nae yuko kazini.. Maombi pia muhimu katika familia
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Kwakweli haishikiki, unaweza jikuta unaibamiza ukutani kama vile ndio ilorudi asubuhi.Hata mleta mada ameleta chai tu tunywe manake weekend hii, katika hali hiyo sijui hiyo smartphone au tablet utaikumbuka saa ngapi.
Mi sipendagi kuulizwa, naweza nikakuzaba
Mkuu, tusitukane mamba. Tuombe Mungu azihuishe ndoa zetu, hakuna mbabe kwenye haya mambo.Na wa hivyo wanawapataga wanawake duwanzi kweli, anapigwa yumo tu, anatiwa kilema yumo tu, wengine hadi wanauawa.
Huyo Mungu alitupa akili tuzitumie pia. Pamoja na kumuomba tutumie akili tusijifanye wajinga kupitiliza.Mkuu, tusitukane mamba. Tuombe Mungu azihuishe ndoa zetu, hakuna mbabe kwenye haya mambo.
Sawa bestie!!Huyo Mungu alitupa akili tuzitumie pia. Pamoja na kumuomba tutumie akili tusijifanye wajinga kupitiliza.
Cc rubiiMpe chai nzito yenye viungo
Kama ana hangover Mpe supu na soda ya baridi
Mpe na maji ya kuoga
Inatosha!!!
Mimi chai obviously ataikuta mezani as familia lazima inywe chai, ni juu yake kunywa au kutokunywa. Baada ya hapo ntakula buyu kidogo nikisubiri maelezo yake, akijifanya bubu namfuata tu tuelezane vizuri. Dukuduku sio zuri kwa afya, I can't let it slide milele weeeeMtiririko unavyoenda kila mtu hatouliza ila kiuhalisia aunt yake hata uwe na moyo wa namna gani kuuliza muhimu.
Hiyo chai itafuata aisee.
Mwanaume haulizwi lakiniAaaah ndo manake
daah anaonekana mpoleeeee....Ndio.
Basi siku hiyo ntamgeuza jinsia, ili tuulizane vizuri. So far na mwanaume harudi kwake asubuhiMwanaume haulizwi lakini
Unaonaje akimpa hiyo chai na asimuulize swali la umetoka wapi na badala yake azungumzie taabu aliyoipata katika kumsubiri na kujiuliza kapatikana na janga gani, kwa njia hiyo huyo mume atasema mwenyewe bila shaka alikuwa wapi. Different approach same result. Ushauri wa baba kwa mtoto.Kwakweli haishikiki, unaweza jikuta unaibamiza ukutani kama vile ndio ilorudi asubuhi.