Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,828
Yani huyu dogo ni kinafiki mpaka kimebadilika sura.
Kimekaa kama vile vbiumbe vya kwenye sayari
Kimekaa kama vile vbiumbe vya kwenye sayari
Kumbuka pia Yesu alioneshwa miliki ya dunia na shetani.ccm uroho wa madaraka ndo unawasumbuaWakuu, Humphrey yule yule ambaye wadau wa UKAWA humu jamvini wamemwagia sifa kedekede leo kuwa wanaimani naye anauliza. Sasa tusubiri mbowe na Mbatia watoe majibu.
Update :
Awaita viongozi wa UKAWA wanasiasa Uchwara kabisa.
Anasema kiongozi wa taifa anapaswa awe juu ya tuhuma. Anayetuhumiwa hafai kuwa kiongozi.
Anasema sasa kuna CHADEMA mbili, watake wasitake. Kuna CHADEMA wenyeji na CHADEMA wageni
Hata mi namshangaa eti lowasa tu nilijua ataongea mapya ya muhimu. Huko magambani ndo weziHuyu ni mhuni tu. Ameshaona mambo yamekuwa magumu, anadhani huu upepo unazuilika. Sisi tupo na Lowassa daima. Yeye anauona ufisadi wa Lowassa tu ndani ya CCM tu? Wengine hawaoni?
huyu jamaa kuanzia leo namuona ----- mpuuz tu
kumbuka pia yesu alioneshwa miliki ya dunia na shetani.ccm uroho wa madaraka ndo unawasumbua
Alipoolizwa kosa lake lingine ni lipi nje ya issue ya richmond akajikanyaga na kusema 1995 nyerere alimkataa na kumpitisha Mkapa. Hapa mi sijamuelewa maana nilidhani atatoa tuhuma hasa. Muhuni huyu
Tupeni namba za huyu jamaaa tumtafute. Au aliona wakati tunamsikiliza wakati wa mchakato wa katiba akafikiri hata akijakutulisha matango pori tutameza? Akomeee