KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,905
- 40,122
wakati ndo kafurahia speed awahi kufanya mambo yake.sio kila mtu hapend speedpiga simu wajulishe wahusika
duh.kwel?Yaani mida hii tunaitafuta korogwe......
Mtakutana na trafick wa kabuku paleYaani mida hii tunaitafuta korogwe......
Mtakutana na trafick wa kabuku pale
wale huwa wapo muda wote.
mbona mmechelewa kufika Korogwe? mara nyingi mkiwahi Korogwe ni saa 3 kamiliYaani mida hii tunaitafuta korogwe......
mbona mmechelewa kufika Korogwe? mara nyingi mkiwahi Korogwe ni saa 3 kamili
si nimekupa muda wa kufika korogwe kwa gari lililowahiYaani unataka kuniambia kuwa tumechelewa na mwendo huu.....!!!!??