kwa laptop mpya kawaida ram inaendana na specifications nyenginezo, ina kuwa ngumu kwa laptop ya processing speed 2Ghz uikute ina ram ya 4gb,
kama kweli unahitaji computer yenye Ram 4, huwa inahitaj processor ya kuanzia 3Ghz na kuendelea, na computer yenye sifa hizo bei yake huwa imechangamka,