Lengo la Iran ni kuifuta Israel, Wayahudi wenyewe nusu yao wapo Iran kama wapelelezi

Lengo la Iran ni kuifuta Israel, Wayahudi wenyewe nusu yao wapo Iran kama wapelelezi

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
16,095
Reaction score
24,323
Nilimuuliza rafiki yangu wa US 'is Trump hawkish?' Akanijibu absolutely. Nikamwambia 'but he never fought a war in his 1st term' akanyamaza kimya tukaendelea na mambo mengine.

Kiwango mtu anachokuchokoza ndicho hicho unapaswa kumshughulikia nacho.

Marehemu Yahya Sinwar aliharibu sana mpango wa Iran kuishambulia Israel.
Na mimi niseme ulitibuliwa na Mungu mwenyewe .
Siku ya kuishambulia Israel makubaliano yalikuwa iwe siku moja kwa mpigo.

  • Hamas washambulie kutokea Gaza Magharibi,
  • Hezbolla washambulie kutoka Lebanon, Kaskazini,
  • Houthi washambulie kutoka Yemen, Kusini
  • Vikundi vingine vya Kiislamu vishambulie kutoka Iraq, Mashariki
  • Makundi yaliyoko WB nayo yashambulie from within, na
  • Baba lao Iran yenyewe ishambulie kutoka juu.

Iran tayari ilishaanda Balistic Missiles na launcher zake zitakazorushwa Israel kwa mpigo zaidi ya 1000 ili kuzielemea defense systems za Israel.

Target ni kama kurusha mawe gizani, popote wewe piga tu, ua kadiri unavyoweza na nia ni kuwamaliza Israel wote.

Yahya Sinwar akasanua huu mpango kwa kuanzisha mashambulizi kabla ya wakati, kimbele mbele chake.

Ndio maana hata uniambie nini, ninaamini kwa moyo wangu wote, Israel inalindwa na Mungu (Emanuel)

So ukisema sisi tulio upande wa Israel ni war mongers and blood thirsty, wewe unayei support Iran tusemeje❓🫤

Kama ukisema Iran iliacha nuke proliferation nitakuuliza hizo 460Kg karibia ya ½tani za Urani iliyorutubishwa zaidi ya 60% inayotosha kutengeneza vichwa 11 vya nuclear ni za nini? maana haifai tena kwa matumizi ya kiraia❗❓

Hayo mengine ya uhusiano wa Israel na US nimeshakujibu
 
Kwenye ile october hesabu zilipigwa vibaya Israel nae kaona amalizie alichokianza.
 
Iran hana mpango Wala hakuwa na mpango huo, Iran anajua bila kuvuruga US huwezi kumshinda Israel, Iran sio vichaa sasahivi ndio anapigana battle halisi maana kurusha makombara tel aviv huku wamarekani wapo ME ni kupoteza muda, na Iran kumtwanga mzayuni bila US ni kazi ya wiki TU.
 
Kama ukisema Iran iliacha nuke proliferation nitakuuliza hizo 460Kg karibia ya ½tani za Urani iliyorutubishwa zaidi ya 60% inayotosha kutengeneza vichwa 11 vya nuclear ni za nini? maana haifai tena kwa matumizi ya kiraia❗❓
Mbona Israel inazo nuclear na haitaki wakaguzi wa IAEA waingie? Sawa mtasema Israel ni taifa teule tusilihoji!! Je Pakistan ambayo inaisaidia Hamas mbona hatujawahi ona mkiigusa? Huu unafiki na propaganda zenu tumezichoka
 
Yahya Sinwar akasanua huu mpango kwa kuanzisha mashambulizi kabla ya wakati, kimbele mbele chake.
Acha uongo, Hamas imekua ikifanya hizi intrusion mara kibao tu tokea 1940s sema tu hii ilikua successful kuliko za nyuma. Kama ingekua coordinated ingevuja hata hao mateka wangepatikana ndani ya wiki tu.
 
Proganda ukijuisha na utoto inakuwa ni Ujinga na upumbavu vilivyochanganyikana pamoja
 
Hamas ,hisbolla, houth,Iran zikishambulia kwa wakati mmoja Israel basi Israel inapata Haki kuzitandika kwa Nuclear zote muda mmoja
kumbuka nucrear huwez kujibu
 
Back
Top Bottom