Hakuna mwana ccm msafi hata mmoja... Niliwahi kumuamini Samuel 6, lakin ghafla nimechefukwa naye sitaki hata kumwona... Gazeti la kuchomoza jua halinaga huruma na dhambi...
Kuna mnafiki zaidi yako..Leta ushahidi wa yale Madai yako kuhusu Mkakati wa Ben Saanane na Tundu Lissu ndani ya CHADEMA. kwenye uongozi wa chama kwanza.Miezi sita inakaribia kupita lakini Upo kimya tangu nikwambie uweke ushahidi hapa