Saa moja hii Kamanda Godbless Lema na Albert wapo ITV wanazungumzia Operation Tokomeza.
Lema katoa nondo za ukweli, amesema Nchimbi alikuwa mkweli aliposema naomba mungu anipe roho ya kusamehe, ni kwasababu aliyetuma kuua watu na kuwatesa na rais wa nchi